• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa Maranyingi |
    • Barua pepe za Watumishi |
Uyui  District Council
Uyui  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Kimsingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Administration and Human Resource
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Envinment and Sanitation
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za baraza la madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Mwekekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba Mbalimbali

Ukaguzi wa Ndani

 

Utangulizi.

Uwepo wa ukaguzi wa ndani.

Marekebisho ya Sheria ya  fedha  za umma ya mwaka 2001(Public Finance  Act(2001)) sehemu ya ya 3(1) a –b imeanzisha ofisi ya Mkaguzi wa ndani Mkuu wa serikali ambaye amepewa jukumu la kuziongoza na kuzisimamia  idara na vitengo vyote vya ukaguzi wa ndani katika taasisi za serikali Tanzania.

Aidha sheria  ya fedha za serikali za mitaa namba 9 ya mwaka 1982sehemu ya 48 imeziagiza mamlaka zote za serikali za mitaa Tanzania kuanzisha vitego vya ukaguzi wa ndani .

Ukaguzi wa ndani Tanzania unafuata mwongozo wa ukaguzi wa ndani wa kimataifa na Tanzania ni wanachama wa Taasisi ya Ukaguzi wa Ndani ya Kimataifa (IIA).Mkaguzi mkuu wa ndani wa serikali anasimamia utekelezaji wa mwangozo wa Wakaguzi wa Ndani wa Kimataifa (IPPF).

Maana ya ukaguzi wa Ndani.
Kwa mujibu wa mwongozo wa Ukaguzi wa ndani wa Kimataifa (IPPF)Ukaguzi wa ndani ni shughuli huru,yenye lengo maalum la kutoa uhakiki na ushauri unaolenga kuongeza tija na kuboresha utendaji wa Taasisi kwa kuchambua na kuboresha usimamizi wa vihatarishi,kuimarisha udhibiti wa ndani na utawala bora.


JINSI KITENGO KINAVYOFANYA KAZI.
Kitengo kinaandaa mpango kazi wa ukaguzi wa mwaka ambao huwa tayari ifikapo june ya kila mwaka.Mpango kazi huu huonyesha maeneo yatayokaguliwa(Audit Universe) na muda ukaguzi huo utapofanyika.Mpango kazi wa mwaka hugawanywa kwa robo ambapo kila mkaguzi hupangiwa kazi zake na mkuu wa kitengo husimamia ili kuona ubora unapatikana.Mpango kazi wa mwaka hupitishwa na Kamati ya Ukaguzi,Menejimenti na Baraza la Madiwani kabla ya Kuanza kutumika.                                                                                   Wakaguzi huandaa prorammu ya ukaguzi na kufanya vikao vya awali nawakaguliwa(entrance meeting) ambapo dhumuni la ukaguzi huelezewa na Mkaguzi hupata fursa ya kujua shughuli zinavyofanyika pamoja na miongozo na sheria zinazoongoza shughuli hizo.Baada ya kikao hicho Wakaguzi hufanya uchambuzi wa nyaraka mbalimbali(inhouse review) na ndipo huandaa mpango wa kutekeleza ukaguzi huo.Wateja wetu wakubwa ni wakuu wa idara na vitengo ambapo shughuli husika hafanyika.Kwa kushirikiana na Mkaguliwa ukaguzi hufanyika na taarifa ya awali huandaliwa na kujadiliwa pamoja na mkaguliwa kabla taarifa ya mwisho kuandliwa ikiwa na maoni yamkaguliwa.


        TAARIFA ZA UKAGUZI WA NDANI.
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kinatakiwa na kinaandaa taarifa a Ukaguzi kila robo mwaka.Lengo la taarifa hizi ni kuiarifa kamati ya Ukaguzi,Menejimenti na Baraza kazi zilizofanyika ,matokeo ya ukaguzi na makubaliano na jinsi ya kurekebisha maeneo ambayo yanataka kuboreshwa kama yapo.Taarifa za ukaguzi huwasilishwa kwenye kamati ya Ukaguzi,Menejimenti na Baraza la Madiwani kwa kujadiliwa na hatimaye hupelekwa kwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali ,Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa na Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali Mkoa.
Kitengo kinafuatilia na kusimamia utekelezaji wa  yaliyojiri kwenye taarifa hizo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUPANGA MAENEO YA KUJENGA VIBANDA VYA BIASHARA KWENYE VITUO VYA MABASI ISIKIZYA NA TURA November 25, 2022
  • KUITWA KAZINI September 07, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA November 04, 2022
  • TANGAZO LA KUPANGISHA MAENEO YA KUJENGA VIBANDA VYA BIASHARA STENDI YA MAGARI ISIKIZYA June 11, 2021
  • Soma zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA UYUI AGAWA PIKIPIKI NANE KWA WATENDAJI WA KATA

    February 28, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UYUI YAGAWA PIKIPIKI TANO KWA WATENDAJI WA KATA

    December 08, 2022
  • KUELEKEA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WILAYA YA UYUI YASHIRIKI ZOEZI LA UPANDAJI MITI

    December 08, 2022
  • MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MIAKA 61YA UHURU TAREHE 09-DESEMBA 2022

    December 06, 2022
  • Soma zote

Video

SAMIA SULUH
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari Mpya

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Tabora RAS
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani
  • Watumishi Portal
  • Tabora MC

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Uyui District Council

    Anuani ya Posta: S.L.P 610

    Simu ya Mezani: +255 26 296 6008

    Simu ya Mkononi: (1) +255 766616985

    Barua pepe: ded@uyuidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa Maranyingi
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2016 UyuiDC . All rights reserved.